Swahili |
English
Mwanzo
MKURABITA
Utangulizi
Neno la Awali
MKURABITA ni nini?
Dhana na mantiki yake
Lengo na madhumuni
Walengwa
Awamu za utekelezaji wa Mpango
Manufaa na matokeo yanayotarajiwa
Uhusiano wa MKURABITA na Mikakati ya Kitaifa
Muundo wa utawala
Awamu za Utekelezaji
Awamu ya Tathimini ya Sekta isiyo rasmi
Awamu ya Uandaji wa Maboresho
Awamu ya Utekelezaji wa Mapendekezo ya Maboresho
Awamu ya Kuimalika kwa Mitaji na Utawala Bora
Nyaraka
Taarifa
Habari na Matukio
Miradi na shughuli zinazotekelezwa
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Matangazo
Zabuni
Maswali yaulizwayo mara kwa mara na majibu
Hotuba
Shuhuda
Picha
Makala
Jukwaa la Mawasiliano
Wasiliana nasi
Anuani
Maoni na Maulizo
Ramani ya Tovuti
Muundo wa Utawala
Hakikisha kuwa mipaka ya kijiji imehakikiwa na kupimwa ipasavyo ili kuepusha migogoro ya mipaka na vijiji jirani
Kijiji kiwe kimesajiliwa na kupata Cheti cha Ardhi ya Kijiji
Kijiji kiwe na jengo linalofaa kwa Masjala ya ardhi ya Kijiji
Maombi ya kupimiwa na kupata hati miliki ya kimila yapelekwe kwenye Halmashauri ya Kijiji kwa ajili ya mapendekezo ya kuidhinishwa
Maombi lazima yapitishwe na kuidhinishwa na Mkutano Mkuu wa Kijiji
Kutambuliwa na kuainishwa kwa eneo la urasimishaji na Halmashauri husika katika mji, Manispaa au Jiji,
Uhamasishaji kwa Uongozi na wananchi wa eneo la urasimishaji,
Utayarishaji wa michoro ya mipango miji na kuidhinishwa na mamlaka husika,
Upimaji ardhi ya wananchi kulingana na michoro ya mipango miji
Uidhinishaji wa ramani za upimaji kwenye mamlaka husika,
Utayarishaji na utoaji wa Hati za kumiliki ardhi kwa wamiliki wa ardhi iliyopimwa.
Machapisho
Makala
Viunganishi muhimu
Nyaraka
Hotuba
Maswali ya mara ka mara
Shuhuda
Picha
Hakimiliki © 2007 MKURABITA